Content-Length: 63076 | pFad | https://sw.wikipedia.org/wiki/Fani

Fani - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Fani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa matumizi tofauti ya neno hili angalia makala Fani (fasihi)

Fani (kutoka ar. فنع "bora") ni uwanja maalumu wa elimu, maarifa au kazi. Kutaja kazi fulani kuwa "fani" kunahitaji kiwango fulani wa ubora au taaluma.

Mifano ya fani katika ufundi ni pamoja na useremala, ujenzi, uhunzi, upishi au uchoraji.

Mifano ya fani katika sayansi au elimu ya juu ni pamoja na

  • sayansi asilia kama vile fizikia, kemia, astronomia, biolojia, tiba
  • sayansi jamii kama vile historia, ualimu, falsafa, isimu, fasihi, sosholojia








ApplySandwichStrip

pFad - (p)hone/(F)rame/(a)nonymizer/(d)eclutterfier!      Saves Data!


--- a PPN by Garber Painting Akron. With Image Size Reduction included!

Fetched URL: https://sw.wikipedia.org/wiki/Fani

Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy