Content-Length: 66188 | pFad | https://sw.wikipedia.org/wiki/Nijo_wa_Japani

Nijo wa Japani - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Nijo wa Japani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa Nijo

Nijo (31 Julai, 11435 Septemba, 1165) alikuwa mfalme mkuu wa 78 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Morihito, na alikuwa mwana wa kwanza wa Tenno Go-Shirakawa. Mwaka wa 1158 alimfuata babake na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1165, muda mfupi kabla ya kifo chake kupitia ugonjwa. Aliyemfuata kama Tenno ni mwana wake Rokujo.

Angalia pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nijo wa Japani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.








ApplySandwichStrip

pFad - (p)hone/(F)rame/(a)nonymizer/(d)eclutterfier!      Saves Data!


--- a PPN by Garber Painting Akron. With Image Size Reduction included!

Fetched URL: https://sw.wikipedia.org/wiki/Nijo_wa_Japani

Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy