Content-Length: 67224 | pFad | https://sw.wikipedia.org/wiki/Reizei_wa_Japani

Reizei wa Japani - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Reizei wa Japani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Reizei (12 Juni, 95021 Novemba, 1011) alikuwa mfalme mkuu wa 63 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Norihira, na alikuwa mwana wa pili wa Tenno Murakami. Mwaka wa 967 alimfuata babake, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 969. Aliyemfuata kama Tenno ni mdogo wake, En'yu.

muonekano wa mbele wa Kaburi la Mfalme Reizei,

Angalia pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Reizei wa Japani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.








ApplySandwichStrip

pFad - (p)hone/(F)rame/(a)nonymizer/(d)eclutterfier!      Saves Data!


--- a PPN by Garber Painting Akron. With Image Size Reduction included!

Fetched URL: https://sw.wikipedia.org/wiki/Reizei_wa_Japani

Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy