Andorra la Vella (Kikatalani: Andorra ya Kizee) ni mji mkuu pia mji mkubwa nchini Andorra yenye wakazi 22,035.

Bunge la Andorra

Iko katika bonde la milima ya Pirenei kwa kimo cha m 1409. Uchumi unategemea sana utalii hasa ski miezi ya baridi.

Andorra la Vella hana uwanja wa ndege wala kituo cha treni lakini kuna huduma ya basi kwenda nje ya nchi.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Andorra la Vella kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy