Antonio Manuel de Oliveira Guterres (alizaliwa 30 Aprili 1949) ni mwanasiasa wa Ureno ambaye anatumikia kama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa tangu mwaka 2017. Hapo awali, alikuwa Kamishna wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) kati ya 2005 na 2015.

Antonio Guterres (2019)

Guterres alikuwa Waziri Mkuu wa Ureno kutoka 1995 hadi 2002 na alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Kisoshalistu cha Ureano kutoka 1992 hadi 2002. Alihudumu kama Rais wa Umoja wa Vyama vya Kisoshalisti Duniani kutoka 1999 hadi 2005.

Katika kura ya kupima mawazo kwenye miaka 2012 na 2014 wananchi wengi wa Ureno walimtaja mara mbili alikuwa waziri mkuu bora wa nchi hii anayekumbukwa.

Viungo vya Nje

hariri
 
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy