Lena (Kirusi: Лена) ni mto wa Urusi. Urefu wake ni 4400 km.Iko katika mkoa wa Yakutia na Irkutsk Oblast.

Lena
Mto Lena
Mdomo Bahari ya Laptev
Nchi Urusi
Urefu 4,400 km
Mkondo 16,350 m³/s
Eneo la beseni 2,490,000 km²
Miji mikubwa kando lake Yakutsk

Inaishia kwenye Bahari ya Laptev ambayo ni sehemu ya Bahari Aktiki.

Tazama pia

hariri
pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy