Nuku'alofa ni mji mkuu wa Tonga mwenye wakazi 22,400 (1996). Iko Tongatapu ambayo ni kisiwa kikubwa cha nchi.

Jumba la kifalme mjini Nuku'alofa, Tonga
Soko la Talamahu mjini Nuku'alofa

Mji ulianzishwa mwaka 1795 pamoja na jumba la kifalme. Mwanzo wa karne ya 19 boma likaongezwa. Imetangazwa kuwa mji mkuu mwaka 1845.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy