Content-Length: 75786 | pFad | http://sw.wikipedia.org/wiki/Hans_Spemann

Hans Spemann - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Hans Spemann

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hans Spemann nobel

Hans Spemann (27 Juni 186912 Septemba 1941) alikuwa mwanazuolojia na mwanafiziolojia kutoka nchi ya Ujerumani. Kwa mfano alitafiti maendeleo ya miili ya aina ya chura. Mwaka wa 1935 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.


Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hans Spemann kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.








ApplySandwichStrip

pFad - (p)hone/(F)rame/(a)nonymizer/(d)eclutterfier!      Saves Data!


--- a PPN by Garber Painting Akron. With Image Size Reduction included!

Fetched URL: http://sw.wikipedia.org/wiki/Hans_Spemann

Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy