Nenda kwa yaliyomo

Lenovo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lebo yake.

Lenovo ni kampuni ya China inayotengeneza kompyuta, kompyuta bapa, kompyuta mpakato, na vifaa vingine.

Lenovo ilianzishwa mwaka 1984 huko Beijing, ilipata biashara ya kompyuta ya IBM mwaka 2005 na ilikubali kupata biashara yake ya seva ya Intel mnamo Januari 2014.

Pia Lenovo ina matoleo mbalimbali kama vile Lenovo Yoga 2 Pro n.k

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lenovo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy