Maswali Ya Bembea Ya Maisha QNS
Maswali Ya Bembea Ya Maisha QNS
Mr Machuki – 0724333200
kenyaeducators@gmail.com
or
Order online at:
www.kenyaeducators.co.ke
KENYA EDUCATORS CONSULTANCY
2. Kwa kurejelea tamthilia hii eleza namna mila na desturi zinavyoweza kuzua migogoro katika
jamii.
(alama 20)
"La! Kila mbegu ipandwayo haina budi kuzaa na izaapo mazao yake huvunwa. Mtu huitakasa
sahani
"Kumbuka, mrina haogopi nyuki. Marehemu mamangu alizoea kutuambia kuwa nguvu
hazimwishi mwanadamu wala hazipotei bure — humalizwa tu na mabuu. Mwanangu, usifanye
hofu. Nikujuavyo
mimi, hukuingia katika bahari si yako. Wala hakuna refu lisilokuwa na ncha. yote yana kikomo
ati! Ipo
safl kama theluji kwa kutosheka na tija ya sulubu zake. Huwezi kumlinganisha na mkulima wa
nguo safi
Eti alama! My foot! Eti ameshuka nafasi darasani lakini akapandisha alama...
“Ukilazwa tayari unakuwa umeonja seli,: Hata wahudumu wenyewe hawana mlahaka mwema.
Amri na
vitisho kama askari. Unashindwa kama UUguze moyo ama ugonjwa. Katika wodi hewa iliyojaa
harufu
ya dawa imezagaa, vitanda vimesalimu amri mpaka shiti zikagura. Yaani hali nzima haikupi
matumaini
ya kutoka ukiwa bora. Matumaini yanadidimia. Tumaini lako unaliweka katika sala”.
b) Fafanua namna mandhari ya dondoo hili yalivyochangia usukaji wa tamthilia. (alama 10)
pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na
mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera,
imani,
c) Fafanua mitikiso saba inayotishia mahusiano ya kijamii ya tamthilia hii. (alama 14)
‘Maisha yetu ni mfano wa mbegu iliyopandwa. Mbegu hiyo haina budi kuoza kwanza
ndipo ioteshe mche
upendezao. Mche huo wa asili ya mbegu iliyooza, hatimaye hutoa zao la mbegu
nyingi ajabu. Ukitazama
vizuri, mbegu ile haifi bali huchukua mkondo mwingine wa maisha. Huchukua
umbo)ipya lipendezalo
hasa ikiwa itakuwa imeangukia ardhi nzuri.. -Sasa rudini msaidie kuzalisha mbegu
nyingi nzuri. Nyinyi
13. Elimu ni mafundisho aali yatolewayo darasani au katika jamii. Jadili kwa kurejelea
tamthilia ya Bembea
14. “Imani na itikadi huthaminiwa sana na jamii ya watu”. Jadili ukweli wa kauli hii
kwa kurejelea tamthilia
15. Mwandishi wa tamthilia hii ameshughulia sana suala la Mabadiliko katika jamii.
Fafanua (alama 20)