Vichwa vya Habari
Makala Maalum
Msaada wa Kibinadamu
Hali ya ucheleweshaji wa mara kwa mara katika usambazaji wa misaada ya kibinadamu kutokana na vizuizi vilivyowekwa na mamlaka ya Israel imezuia vifaa vya kuokoa maisha kufikia wale walio na mahitaji makubwa zaidi katika Ukanda wa Gaza ulioathiriwa na vita. Kwenye udadavuzi huu utapata taarifa za hivi karibuni kabisa kuhusu jinsi wahudumu wa misaada wanavyoingiza misaada ili kuwasaidia Wapalestina waliokwama kwenye vita ukanda huo.
Habari kwa Picha
UNICEF na usaidizi kwa watoto wakimbizi DRC: Elimu, Afya, Michezo
Mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ni mojawapo ya mizozo iliyosahaulika na tete zaidi duniani na sasa yanaathiri watoto. Lakini shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto (UNICEF) liko makini.
Habari Nyinginezo
Masuala ya UM
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amezisihi nchi wanachama kuwa na moyo na ari ya maelewano na kuionyesha dunia kile tunachoweza kufanya endapo tutafanyajkazi kwa Pamoja.
Haki za binadamu
Wataalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu wamekaribisha msisitizo wa Jopo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa kutaka haki za binadamu zizingatiwe wakati wa kipindi cha kuhama kutoka nishati kisukuku kwenda kutumia madini yasiyo na madhara kwa mazingira kama vile Cobalt na Nikeli.