Content-Length: 95102 | pFad | http://sw.wikipedia.org/wiki/Kishona

Kishona - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Kishona

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kishona ni lugha ya Kibantu nchini Zimbabwe inayozungumzwa na Washona. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kishona nchini Zimbabwe imehesabiwa kuwa watu 10,700,000. Pia kuna wasemaji wachache nchini Zambia, Malawi, Botswana na Afrika Kusini. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kishona iko katika kundi la S10.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kishona kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.








ApplySandwichStrip

pFad - (p)hone/(F)rame/(a)nonymizer/(d)eclutterfier!      Saves Data!


--- a PPN by Garber Painting Akron. With Image Size Reduction included!

Fetched URL: http://sw.wikipedia.org/wiki/Kishona

Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy